Ubarikiwe unaposikiliza
Kaa mkao, inakuja live video wakati wowote mwanzoni mwa mwaka huu 2012
Karibu
Friday, January 6, 2012
Tuesday, January 3, 2012
The Standard Group wawasha moto ndani ya UDOM
Haijawahi kutokea ndani ya UDOM wala mji wa Dodoma tamasha kubwa kama hili lililofana kwa aina ya kipekee na Roho wa Bwana kutamalaki ndani ya Cafeteria kubwa wa Chuo Kikuu Cha Dodoma. Ilikuwa ni usiku wa kipee ulio ambatana na kurekodi Video na Audio live ya Albam ya HAKUNA KIFICHO ya Godsave Sakafu.
Pata uhondo kwenye picha hizi hapa chini.....
Pata uhondo kwenye picha hizi hapa chini.....
![]() | |
| Wakati maandalizi bado yanaendelea, watu tayari walikuwa wameshajaa..... |
![]() | |
| Ambwene Mwasongwe nae alikuwepo, hapa wakibadilishana mawazo na Godsave |
![]() | |
| Tamasha likaanza.. |
![]() |
![]() |
![]() | |
| Mheshimiwa akizindua alabam ya Hakuna Kificho rasmi |
![]() | |
| Burudani ikaendelea, watu wakiselebuka Kwaito ilokuwa ikipigwa livee.......... |
![]() | |
| Kushoto, kulia, kushotoo, tgeukeee... |
![]() | |
| Wengine walikosa nafasi ndani ya ukumbi wakabaki nje |
![]() | |
| wengine walikuwa wakiangalia kutoka nje kwani ndani kulikuwa full |
Subscribe to:
Comments (Atom)












